Skip to content
2 Wafalme 2:7-8

2 Wafalme 2:7-8

7
Wana hamsini wa manabii wakaenda na kusimama kwa mbali, kuelekea mahali ambapo Eliya na Elisha walikuwa wamesimama kando ya Mto Yordani.
8
Eliya akachukua vazi lake, akalisokota na kupiga nalo maji. Maji yakagawanyika upande wa kuume na upande wa kushoto, nao wawili wakavuka pakavu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options