2 Wafalme 10:26-28
26
Wakaileta ile nguzo ya kuabudiwa nje ya hekalu la Baali, na wakaichoma moto.
27
Wakabomoa ile nguzo ya kuabudiwa ya Baali pamoja na hekalu la Baali, nao watu wakapafanya kuwa choo hadi leo.
28
Kwa hiyo Yehu akaangamiza kuabudiwa kwa Baali katika Israeli.