Skip to content
2 Wafalme 10:26-28

2 Wafalme 10:26-28

26
Wakaileta ile nguzo ya kuabudiwa nje ya hekalu la Baali, na wakaichoma moto.
27
Wakabomoa ile nguzo ya kuabudiwa ya Baali pamoja na hekalu la Baali, nao watu wakapafanya kuwa choo hadi leo.
28
Kwa hiyo Yehu akaangamiza kuabudiwa kwa Baali katika Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options