Skip to content
2 Yohana 1:10-11

2 Yohana 1:10-11

10
Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
11
Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options