Skip to content
2 Yohana 1:12-13

2 Yohana 1:12-13

12
Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
13
Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options