Skip to content
2 Wakorintho 9:6-7

2 Wakorintho 9:6-7

6
Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu.
7
Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options