Přejít k obsahu
2 Wakorintho 8:20-21

2 Wakorintho 8:20-21

20
Tunataka kuepuka lawama yoyote kuhusu jinsi tunavyosimamia matoleo haya ya ukarimu.
21
Kwa kuwa tunakusudia kufanya kile kilicho haki si machoni mwa Bwana peke yake, bali pia machoni mwa watu wengine.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options