Skip to content
2 Wakorintho 7:2-3

2 Wakorintho 7:2-3

2
Tupatieni nafasi mioyoni mwenu. Hatujamkosea mtu yeyote, hatujampotosha mtu yeyote, wala hatujamdhulumu mtu yeyote.
3
Sisemi haya ili kuwahukumu, kwa kuwa nilisema mwanzo, kwamba ninyi mko mioyoni mwetu hata kwa kufa pamoja au kuishi pamoja.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options