Skip to content
2 Wakorintho 6:11-13

Upendo wa Paulo na Moyo Wake Uliofunguka

2 Wakorintho 6:11-13
11
Tumesema nanyi wazi, enyi Wakorintho na kuwafungulieni mioyo yetu wazi kabisa.
12
Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu.
13
Sasa nasema, kama na watoto wangu: Ninyi pia ifungueni mioyo yenu kabisa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options