Skip to content
2 Wakorintho 6:1-3

2 Wakorintho 6:1-3

1
Kama watendakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure.
2
Kwa maana asema: “Wakati wangu uliokubalika nilikusikia, siku ya wokovu nilikusaidia.” Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya wokovu ndiyo sasa.
3
Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options