Skip to content
2 Wakorintho 2:6-8

2 Wakorintho 2:6-8

6
Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.
7
Basi sasa badala yake, inawapasa kumsamehe na kumfariji, ili asigubikwe na huzuni kupita kiasi.
8
Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwa ajili yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options