Skip to content
2 Wakorintho 11:32-33

2 Wakorintho 11:32-33

32
Huko Dameski, mtawala aliyekuwa chini ya Mfalme Areta aliulinda mji wa Dameski ili kunikamata.
33
Lakini nilishushwa kwa kapu kubwa kupitia katika dirisha ukutani, nikatoroka kutoka mikononi mwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options