Skip to content
2 Wakorintho 11:28-29

2 Wakorintho 11:28-29

28
Zaidi ya hayo yote, nakabiliwa na mzigo wa wajibu wangu kwa makanisa yote.
29
Je, ni nani aliye mdhaifu, nami nisijisikie mdhaifu? Je, nani aliyekwazwa, nami nisiudhike?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options