Skip to content
2 Wakorintho 11:24-25

2 Wakorintho 11:24-25

24
Mara tano nimechapwa na Wayahudi viboko arobaini kasoro kimoja.
25
Mara tatu nilichapwa kwa fimbo, mara moja nilipigwa kwa mawe, mara tatu nimevunjikiwa na meli, nimekaa kilindini usiku kucha na mchana kutwa,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options