Skip to content
2 Nyakati 9:30-31

2 Nyakati 9:30-31

30
Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.
31
Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options