Skip to content
2 Nyakati 9:13-14

2 Nyakati 9:13-14

13
Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,
14
mbali na mapato yaliyoletwa na wafanyabiashara na wachuuzi. Wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi wakamletea Solomoni dhahabu na fedha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options