Перейти к содержимому
2 Nyakati 7:14-15

2 Nyakati 7:14-15

14
kama watu wangu, wanaoitwa kwa Jina langu, watajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao mbaya, basi nitasikia toka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na nitaiponya nchi yao.
15
Sasa macho yangu yatafumbuka na masikio yangu yatasikiliza kwa makini maombi yaombwayo mahali hapa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options