2 Nyakati 33:10-11
10
Bwana akasema na Manase pamoja na watu wake, lakini hawakumjali.
11
Hivyo Bwana akaleta juu yao majemadari wa jeshi la mfalme wa Ashuru, ambao walimchukua Manase kwenda kifungoni, wakaweka ndoana katika pua yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.