Skip to content
2 Nyakati 24:4-5

2 Nyakati 24:4-5

4
Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la Bwana.
5
Akawaita pamoja makuhani na Walawi akawaambia, “Nendeni katika miji ya Yuda mkakusanye fedha wanazopaswa kulipa kila mwaka kutoka kwa Israeli wote, ili kukarabati Hekalu la Mungu wenu. Fanyeni hivyo sasa.” Lakini Walawi hawakufanya upesi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options