Skip to content
2 Nyakati 24:15-16

2 Nyakati 24:15-16

15
Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku wakati alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka 130.
16
Wakamzika pamoja na wafalme katika Mji wa Daudi, kwa sababu ya mema aliyokuwa ametenda katika Israeli kwa ajili ya Mungu na Hekalu lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options