Skip to content
2 Nyakati 2:1-2

Sulemani aazimia kulijenga hekalu

2 Nyakati 2:1-2
1
Solomoni akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.
2
Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options