Skip to content
2 Nyakati 2:1-2

2 Nyakati 2:1-2

1
Solomoni akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.
2
Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options