Skip to content
2 Nyakati 17:15-19

2 Nyakati 17:15-19

15
aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;
16
aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya Bwana, akiwa na askari 200,000.
17
Kutoka Benyamini: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;
18
aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.
19
Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options