Skip to content
2 Nyakati 14:9-10

2 Nyakati 14:9-10

9
Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha.
10
Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options