Skip to content
2 Nyakati 14:2-3

2 Nyakati 14:2-3

2
Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa Bwana Mungu wake.
3
Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options