Skip to content
2 Nyakati 14:12-13

2 Nyakati 14:12-13

12
Bwana akawapiga Wakushi mbele ya Asa na Yuda. Wakushi wakakimbia,
13
naye Asa na jeshi lake wakawafuatia mpaka Gerari. Idadi kubwa ya Wakushi ilianguka hata wasiweze kuinuka tena, wakapondapondwa mbele za Bwana na majeshi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options