Skip to content
2 Nyakati 12:1-2

2 Nyakati 12:1-2

1
Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya Bwana Mungu.
2
Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa Bwana, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options