Skip to content
1 Timotheo 6:6-9

1 Timotheo 6:6-9

6
Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7
Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
8
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
9
Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options