Skip to content
1 Timotheo 6:6-8

1 Timotheo 6:6-8

6
Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7
Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
8
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options