Skip to content
1 Timotheo 6:11-12

1 Timotheo 6:11-12

11
Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.
12
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options