1 Timotheo 5:20-22
20
Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
21
Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.
22
Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde nafsi yako uwe safi.
Settings