Skip to content
1 Timotheo 4:7-9

1 Timotheo 4:7-9

7
Usijishughulishe kamwe na hadithi za kipagani na masimulizi ya uongo ya wanawake wazee; badala yake, jizoeze kuwa mtauwa.
8
Kwa maana mazoezi ya mwili yana faida kwa sehemu, lakini utauwa una faida katika mambo yote, yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa na ya ule ujao.
9
Hili ni neno la kuaminiwa tena lastahili kukubaliwa kabisa,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options