Skip to content
1 Timotheo 4:4-5

1 Timotheo 4:4-5

4
Kwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani,
5
kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options