Skip to content
1 Timotheo 4:3-5

1 Timotheo 4:3-5

3
Wao huwakataza watu wasioe na kuwaagiza wajiepushe na vyakula fulani, ambavyo Mungu aliviumba ili vipokewe kwa shukrani na wale wanaoamini na kuijua kweli.
4
Kwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani,
5
kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options