Skip to content
1 Timotheo 4:1-2

1 Timotheo 4:1-2

1
Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.
2
Mafundisho kama hayo huja kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki, hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options