Skip to content
1 Timotheo 3:2-3

1 Timotheo 3:2-3

2
Basi, imempasa mwangalizi awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha,
3
asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options