Skip to content
1 Timotheo 3:1-4

1 Timotheo 3:1-4

1
Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kazi ya uangalizi, atamani kazi nzuri.
2
Basi, imempasa mwangalizi awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha,
3
asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha.
4
Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options