Skip to content
1 Timotheo 2:2-4

1 Timotheo 2:2-4

2
kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
3
Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,
4
anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options