1 Timotheo 2:2-4
2
kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
3
Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,
4
anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.