Skip to content
1 Timotheo 2:1-2

1 Timotheo 2:1-2

1
Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote:
2
kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options