Skip to content
1 Wathesalonike 5:12-13

1 Wathesalonike 5:12-13

12
Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu katika Bwana na ambao wanawaonya.
13
Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options