Skip to content
1 Wathesalonike 4:13-14

1 Wathesalonike 4:13-14

13
Lakini ndugu, hatutaki mkose kujua kuhusu wale waliolala mauti, ili msihuzunike kama watu wengine wasiokuwa na tumaini.
14
Kwa kuwa tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwa hivyo, Mungu kwa njia ya Yesu atawafufua pamoja naye wale waliolala mautini ndani yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options