Skip to content
1 Wathesalonike 4:1-2

1 Wathesalonike 4:1-2

1
Hatimaye, ndugu, tuliwaomba na kuwasihi katika Bwana Yesu kwamba, kama mlivyojifunza kutoka kwetu jinsi iwapasavyo kuishi ili kumpendeza Mungu, kama vile mnavyoishi, imewapasa mzidi sana kufanya hivyo.
2
Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options