Skip to content
1 Wathesalonike 2:3-5

1 Wathesalonike 2:3-5

3
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
4
Kinyume chake, tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza Mungu, yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani sana ya mioyo yetu.
5
Kama mjuavyo, hatukuja kwenu kwa maneno ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli ili kuficha tamaa mbaya: Mungu ndiye shahidi yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options