پرش به محتوا
1 Wathesalonike 2:11-12

1 Wathesalonike 2:11-12

11
Maana mnajua kwamba tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba awatendeavyo watoto wake.
12
Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options