Skip to content
1 Samweli 8:6-7

1 Samweli 8:6-7

6
Lakini wao waliposema, “Tupe mfalme wa kutuongoza,” hili lilimchukiza Samweli, hivyo akamwomba Bwana.
7
Naye Bwana akamwambia: “Sikiliza yale yote watu wanakuambia. Si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options