Skip to content
1 Samweli 5:1-2

1 Samweli 5:1-2

1
Baada ya Wafilisti kuteka Sanduku la Mungu, walilichukua kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.
2
Kisha wakaliingiza lile Sanduku ndani ya hekalu la Dagoni na kuliweka kando ya huyo Dagoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options