Skip to content
1 Samweli 5:1-2

Sanduku Lapelekwa Ashdodi

1 Samweli 5:1-2
1
Baada ya Wafilisti kuteka Sanduku la Mungu, walilichukua kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.
2
Kisha wakaliingiza lile Sanduku ndani ya hekalu la Dagoni na kuliweka kando ya huyo Dagoni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options