Skip to content
1 Samweli 30:24-25

1 Samweli 30:24-25

24
Ni nani atasikiliza yale mnayosema? Fungu la mtu aliyekaa na vyombo litakuwa sawa na la yule aliyekwenda vitani. Wote watashiriki sawa.”
25
Daudi akafanya hili liwe amri na agizo kwa Israeli kutoka siku ile hata leo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options