Skip to content
1 Samweli 28:1-2

Daudi Ajiunga na Wafilisti Vitani

1 Samweli 28:1-2
1
Siku zile Wafilisti wakakusanya majeshi yao ili kupigana vita dhidi ya Israeli. Akishi akamwambia Daudi, “Lazima ujue kuwa wewe pamoja na watu wako mtafuatana nami kwenda vitani.”
2
Daudi akasema, “Ndipo wewe mwenyewe utakapojionea jambo ambalo mtumishi wako anaweza kufanya.” Akishi akamjibu Daudi, “Vyema sana, mimi nitakufanya uwe mlinzi wangu daima.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options