Skip to content
1 Samweli 25:37-38

1 Samweli 25:37-38

37
Basi asubuhi, Nabali alipokuwa amelevuka, mkewe akamwambia mambo yote, nao moyo wake ukazimia, akawa kama jiwe.
38
Baada ya siku kumi, Bwana akampiga Nabali, naye akafa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options