Skip to content
1 Samweli 24:16-17

1 Samweli 24:16-17

16
Daudi alipomaliza kusema haya, Sauli akamuuliza, “Je, hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Ndipo Sauli akalia kwa sauti kuu, akisema,
17
“Wewe ni mwenye haki kuliko mimi; umenitendea mema, lakini mimi nimekutendea mabaya.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options