Skip to content
1 Samweli 24:1-2

1 Samweli 24:1-2

1
Baada ya Sauli kurudi kuwafuatia Wafilisti, akaambiwa kwamba, “Daudi yuko katika Jangwa la En-Gedi.”
2
Basi Sauli akachukua watu hodari 3,000 kutoka Israeli yote kwenda kumsaka Daudi na watu wake karibu na Majabali ya Mbuzi-Mwitu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options