Skip to content
1 Samweli 22:20-21

1 Samweli 22:20-21

20
Lakini Abiathari, mwana wa Ahimeleki, mwana wa Ahitubu, akatoroka, akakimbia na kujiunga na Daudi.
21
Akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options